...
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjE45guIZVp7PwS_fmZtENt40AMpn7-_uyGL-VkxFvTH6vz_dUf9D1O8Y43mhppC4Mbfht8WzzFVn7bWiDmPCqVyHTpg8s2DyLp_AXead-40-pg9EW8HbTWYXngruhsk0GJManbp_5gh20/s1600/1.jpg)
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha
Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema serikali yake ya awamu ya
tano haitakuwa na blablabla katika utendaji wa kazi na kuonya kuwa
waziri atakayeshindwa kutelekeza majukumu yake, ataondolewa ili kupisha
wenye uwezo.
Dk. Magufuli alitoa ahadi hiyo jana, wakati akijinadi kwa wananchi
wilayani Nkasi na Kalambo,