Friday, August 28, 2015

Picha za Mafuriko ya Magufuli Sumbawanga


...
Read More

Magufuli Akataa Mawaziri Wazembe......Asema Serikali Yake Haitakuwa na BlaaBlaa Katika Utendaji Kazi

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema serikali yake ya awamu ya tano haitakuwa na blablabla katika utendaji wa kazi na kuonya kuwa waziri atakayeshindwa kutelekeza majukumu yake, ataondolewa ili kupisha wenye uwezo. Dk.  Magufuli alitoa ahadi hiyo jana, wakati akijinadi kwa wananchi wilayani Nkasi na Kalambo,